BREAKING NEWS: AJALI KUBWA YATOKEA ASUBUI
Shule ya Lucky Vicent Nursery and Primary school imejikuta ikiingia kwenye majonzi baada ya kuwapoteza baadhi ya wanafunzi na walimu waliokuwa safarini asubui ya leo.
Ajali hiyo imetokea Wilaya ya Karatu kata ya Rhotia , inasemekana basi hilo lilikuwa na abiria 58, kati ya hao , wanafunzi 31 pamoja na walimu wao wamefariki papo hapo.
Tuzidi kuombea Taifa Letu Mungu atulinde na Roho za Ajali
No comments:
Post a Comment