Kutokakana na Ripoti zilizotolewa na nchi ya Korea kusini na Marekani kuwa simu ya aina ya Samsung Galaxy Note 7 zilikuwa zikilipuka wakati au baada ya kuweka kwenye chaji, Kampuni ya Samsung imeamua kusitishwa uuzwaji wa simu hiyo.
Pia, mtu mmoja inasemekana anaishi nchini Marekani ameweka video mtandaoni akionesha Simu yake ya Samsung Galaxy Note 7 ikiwa imeungua baada ya kuweka kwenye chaji.
No comments:
Post a Comment