Tangaza biashara yako hapa kwa shillingi 5,000 kwa muda wa wiki 2 mfululizo Wasiliana nasi kwa namba 0753 840 270 au Whatsapp kwa 0712-107-042

Sunday, September 4, 2016

JESHI LA POLISI LAWATAWANYA WAFUASI WA CUF KWA KUFYATUA RISASI HEWANI

Jeshi la polisi lawatawanya kwa kufyatua risasi hewani na limewakamata watu zaidi ya watano wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Prof. Ibrahim Lipumba baada ya kutaka kumzuia Kaimu mwenyekiti wa CUF Julius Mtatiro kuzungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CUF Buguruni Leo.


No comments:

Post a Comment