Tangaza biashara yako hapa kwa shillingi 5,000 kwa muda wa wiki 2 mfululizo Wasiliana nasi kwa namba 0753 840 270 au Whatsapp kwa 0712-107-042

Sunday, August 28, 2016

Rais John Pombe Magufuli >> Binadamu tunatakiwa kuwa wamoja

RAIS John Magufuli amesema binadamu wanatakiwa kuwa na umoja hata kama wana tofauti mbalimbali zikiwamo za kimadhehebu ya dini, siasa na kanda, huku akiwaomba viongozi wa dini kuendeleza juhudi zao za kuliombea taifa na kuwaunganisha wananchi licha ya tofauti zilizomo miongoni mwao.
  
Rais Magufuli alitoa kauli hiyo jana baada ya kumalizika kwa Misa Takatifu ya kuadhimisha Jubilee ya miaka 50 ya Ndoa ya Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, DR.Benjamin William Mkapa na mkewe, Anna Mkapa iliyofanyika kwenye Kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment