Tangaza biashara yako hapa kwa shillingi 5,000 kwa muda wa wiki 2 mfululizo Wasiliana nasi kwa namba 0753 840 270 au Whatsapp kwa 0712-107-042

Wednesday, August 31, 2016

MHESHIMIWA ALI BONGO AMETANGAZWA KUWA MSHINDI KATIKA UCHAGUZI NCHINI GABON

Wanachama wa tume ya Uchaguzi mkuu katika nchi ya Gabon wametangaza kuwa rais Ali Bongo, amehifadhi kiti chake cha urais baada ya kumshinda mpinzani wake Jean Ping.

Ushindi huo ni baada ya kumalizika kwa shughuli za upigaji kura, hapo siku ya Jumamosi.

No comments:

Post a Comment