Tangaza biashara yako hapa kwa shillingi 5,000 kwa muda wa wiki 2 mfululizo Wasiliana nasi kwa namba 0753 840 270 au Whatsapp kwa 0712-107-042

Monday, December 26, 2016

MKULIMA ACHOMWA MKUKI MDOMONI WATOKEZEA SHINGONI

Katika tukio la kushangaza, kijana mmoja ajulikanaye kwa jina la Augustino Mtitu mwenye umri wa miaka 42
mkazi wa kitongoji cha Upangwaji kijiji cha Dodoma-Isanga Wilaya ya Kilosa,  amenusurika kifo baada ya kuchomwa mkuki mdomoni na kutokea shingoni


kijana huyo alikaa na mkuki huo kwa masaa sita kabla ya kufanyiwa upasuaji uliochukua lisaa limoja kuutoa.



Majeraha hayo yamemfanya kijana huyo ashindwe kuongea kutokana na maumivu makali baada ya kuathirika mfupa wa taya na kuchanika.






No comments:

Post a Comment