Tangaza biashara yako hapa kwa shillingi 5,000 kwa muda wa wiki 2 mfululizo Wasiliana nasi kwa namba 0753 840 270 au Whatsapp kwa 0712-107-042

Thursday, September 1, 2016

RAIS WA BRAZIL DILMA ROUSSEFF AONDOLEWA MADARAKANI

Kura za wabunge nchini Brazil zimemuondoa madarakani aliyekuwa Raisi wa Brazil DILMA ROUSSEFF.


Kati ya wabunge waliopiga kura Asilimia 61 wametaka aondolewe huku asilimia 21 wametaka abaki madarakani.


Dilma amekutwa na hatia ya udanganyifu wa bajeti katika  nchi hiyo wakati wa kampeni zake za uchaguzi miaka miwili iliyopita.

No comments:

Post a Comment